Wednesday, 20 July 2011
Tuesday, 19 July 2011
KIBANDA CHA KUJISETIRI NA JUA NA MVUA KIMEANGUKA
Shelter for passengers at 'Super Star' bus stop adjacent to Muhas along United Nations Road has fallen down. City fathers are reluctant to re-erect it, causing a havoc to passengers.Photo: By Nasser Kigwangallah
'Norway yakubali kupandisha hadhi ya ubalozi wa Palestina huko Oslo'
Norwegian Foreign Minister Jonas Gahr Støre
Waziri wa mambo ya kigeni wa Norway Bwana Jonas Gahr Stoere na mwenyekiti wa Mamlaka ya Palestina Bwana Mahmoud Abbas jana walitiliana saini makubaliano ya kuufanya ubalozi uliopo Oslo kuwa ofisi kamili ya kibalozi.
Bw. Stoere na Bw. Abbas walisaini hati za makubaliano hayo huko Oslo baada ya kumaliza kikao chao kuhusu hali ya mgogoro wa Mashariki ya Kati na suala la Palestina kutaka kuungwa mkono kwenye Umioja wa Mataifa baadaye Septemba mwaka huu.
Stoere, ndiye alitangaza uamuzi huo wan chi yake alisema: “Uamuzi wa kuupandisha hadhi ubalozi wa Palestina katika nchi yake ni jambo la kufurahisha sana.”
Ofisi hiyo ya PLO mjini Oslo ilianzishwa mwaka 1994 kuwawakilisha Wapalestina katika nchi hiyo.
Monday, 18 July 2011
MATATIZO YA U8MEME YATAKWISHA LINI TANZANIA? NI AIBU YA TAIFA
Mgao wa umeme unaoendelea Tanzania kwa sasa, ni ishara tosha kuwa serikali haijajipanga vizuri kulitatua suala hili kuanzia kiini chake hasa ni nini.
Wakati nchi hii ina kila sababu ya kujivuna kutokana na utajiri wake wa maliasili.
Je, tuseme ni maamuzi mabovu ya kiutendaji au kukosa kuwajibika ipasavyo kwa TANESCO na wizara ya Nishati na Madini inayoongozwa na Bwana William Ngeleja, waziri wa wizara hiyo? Bunge limeikataa bajeti ya wizara hiyo, serikali imetakiwa kuirekebisha na kuja na mikakati, baada ya wiki tatu kuanzia sasa. Hii haitoshi kumaliza mgao ambao umeathiri sekta zote za maisha ya wananchi na uchumi umeteketea kabisa. Kwa maoni yangu; serikali inatakiwa kujiuzulu kwa kushindwa kwake kuwajibika ipasavyo.
Wakati nchi hii ina kila sababu ya kujivuna kutokana na utajiri wake wa maliasili.
Je, tuseme ni maamuzi mabovu ya kiutendaji au kukosa kuwajibika ipasavyo kwa TANESCO na wizara ya Nishati na Madini inayoongozwa na Bwana William Ngeleja, waziri wa wizara hiyo? Bunge limeikataa bajeti ya wizara hiyo, serikali imetakiwa kuirekebisha na kuja na mikakati, baada ya wiki tatu kuanzia sasa. Hii haitoshi kumaliza mgao ambao umeathiri sekta zote za maisha ya wananchi na uchumi umeteketea kabisa. Kwa maoni yangu; serikali inatakiwa kujiuzulu kwa kushindwa kwake kuwajibika ipasavyo.
Bunge prevails on Energy budget Minister for Energy and Minerals
Mr William Ngeleja, the Energy and Minerals minister
THE annual budget estimates for the Ministry of Energy and Minerals has been withdrawn from the National Assembly for reworking because reports and proposals therein have failed to satisfy Members of Parliament. The estimates will be tabled again after three weeks. Prime Minister Mizengo Pinda intervened on Monday evening after a heated, emotion-charged debate earlier in the day, to ask Parliamentarians for another chance to work on the estimates. The MPs agreed unanimously.
Conflicts in Africa: is it a panacea for development?
Omar al-Bashir, president of North Sudan, Muammar Qaddhafi, Libyan leader and Salva Kiir, the newly inaugurated president of South Sudan
The war in Libya and the break-up of Sudan has caused the most brutal social, political and economic implications of both developments for African Unity and especially their potential impact on the future of Afro-Arab relations in Africa. It is clear, without any reasonable doubts that the African Union has not handled these happenings with the prudent leadership and foresight that they deserve. This is bound to bear untold and undesirable consequences and may cause irreparable damage to African Unity.
Sunday, 17 July 2011
Read 'I' Stories at a GEM Summit, in Johannesburg, South Africa recently
Nasser Kigwangallah and Ncana Maziya read I Stories at GEM Summit, in Johannesburg, South Africa recently
Subscribe to:
Posts (Atom)