Friday, 29 June 2012






TIGO KUWASHA MOTO WA BURUDANI JIJINI DAR
Na Nasser Kigwangallah, Dar es Salaam.
TIGO itawasha moto wikiendi hii katika viwanja vya Coco Beach, jijini Dar es  Salaam, ikisindikizwa na wasanii bora kabisa nchini, watakaotoa burudani safi katika fukwe ya bahari ya Hindi.
Hayo yalisemwa na Afisa Uhusiano Bi Alice Maro wakati akizungumza na waandidhi wa habari kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Alisema maadhimisho hayo ya siku mbili, ambayo ni ya mwanzo wa maonesho ya  biashara yaitwayo ‘Sabasaba’ yatafanyika kuanzia kesho Jumamosi Juni 30 na kesho kutwa Jumapili Julai 1, yataanza saa tano kamili asubuhi hadi saa kumi na mbili  jioni.
Aliwataka wasanii kutumia uwezo wao na vipaji vyao katika kuimba na kucheza sarakasi katika mashindano ya Tigo ya kusaka vipaji vya chipukizi yaliyoandaliwa kwa wote watakaohudhuria.
Au unaweza kukaa na kuburudika pamoja na wanamuziki Mr Nice na H. Baba wakati wakitumubuiza jukwaaani.
“Mwaka huu tumeamua kuwaletea burudani nyingi na za kutosha ili kuweza kuwafariji wateja wetu popote pale walipo, hivyo kufika kwao itakuwa faraja kubwa kwetu sisi,” alisema Alice Maro, Afisa Uhusiano wa Tigo.
Aliongeza kusema kuwa wanachotaka ni kwa wateja wao siyo kupata burudani tu, bali pia waje wapate na kufurahia huduma zao zilizo bora kabisa na nafuu zilizoandaliwa kwa ajili yao.
Alisema kilele cha madhimisho hayo kitakuwa siku ya Jumapili kwa burudani kutoka kwa Juma Nature, Roma Mkatoliki, Izzo B, Professor Jay, Mwasiti, Barnabas, Fid Q, Joe Makini na burudani maalumukutoka kundi la wachekeshaji la “Ze Comedy.”
Hakutakuwa na sababu ya kuondoka uwanjani jua likizama, kwani fainali za Euro mwaka 2012 zitakuwa zikianza wakati huo. Fainali hizo zitaoneshwa laivu katika skrini kubwa kuanzia saa mbili usiku.
Kiingilio ni bure kabisa na Tigo inawahamasisha wote kufika katika ufukwe wa Coco Beach ili kusherehekea na kuukaribisha msimu huu wa Saba Saba.
KUHUSU TIGO
Tigo ni mtandao wa kwanza wa simu za mkononi nchini Tanzania, ulioanza biashara mwaka 1994 na ni mtandao wenye ubunifu wa hali ya juu na bei nafuu kuliko mitandao mingine yote nchini unaotoa huduma katika mikoa 26, Tanzania bara na Visiwani.
Tigo ni sehemu ya Millicom International Cellular S.A (MIC) na inatoa huduma zake za intaneti kwa gharama nafuu kabisa na ni mtandao wenye nguvu na kasi kubwa.
Mtandao wa intaneti unapatikana maeneo mengi kwa urahisi zaidi kwa wateja wake wapaptao milioni 43 katika masoko 13 yanayoibukia barani Afrika na Amerika ya Kusini.

Saturday, 10 March 2012

Polisi wauaji watiwa ndani na kutimuliwa kazi Urambo- Tabora

Polisi wauaji wakiwa wameubeba mwili wa maraehemu Hasan Mgalula kwenye bajaj wakiupeleke kituoni. Huu ni unyama wa polisi hapa nchini kwetu

JESHI la Polisi nchini limewafukuza kazi askari wake wanne waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kumpiga na kumsababishia kifo raia mmoja mkazi wa mjini Urambo, Hassan Mgalula.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, Antony Rutta, alisema kuwa askari hao wamefukuzwa kazi kutokana na kujihusisha na tukio hilo baya.
Aliwataja askari hao ambao hivi sasa wanakabiliwa na tuhuma za mauaji kuwa ni Konstebo Aidano, Jonathan, Mohamed na Khakimu.
Kamanda Rutta alisema kuwa askari hao walioshikilwa kwa muda wa wiki moja, walikwenda kumkamata Hassan kwa tuhuma za kujeruhi na kutoa lugha chafu na huko waliamua kutumia nguvu iliyopita kiasi na kumpiga mtuhumiwa huyo ambaye alifariki.
Alisema kuwa watuhumiwa hao wanatarajia kufikishwa mahakamani mara moja ili kujibu tuhuma hizo zinazowakabili.
Pichani police hao waliokuwa kuwa wamevaa kiraia wakiwa wamempakia marehem Hassan Mgalul kwenye bajaj huku wamemkanyaga kichwa! walipofika police walifungua file kuwa kapigwa na raia wenye hasira kali!

Kisa

inasemekana chanzo kilikuwa askari mmoja aliyekuwa kavaa kiraia kumgonga marehem kwa baiskeli, marehem alipohoji kwa nn kamgonga jamaa akaja juu, marehemakamshushia kipigo kikali, ndipo akafuata askari wenzake wakaja kumakamata jamaa na kumpa kichapo kabla ya kumtupia kwenye hilo bajaj la mizigo.

Eastern Africa Grain Council meeting in photo

Participants of a one day meeting on the effects of grain availability in Eastern Africa region, held recently at Peacock Hotel in Dar es Salaam.

Sunday, 19 February 2012

Iran celebrates 33rd anniversary of Islamic Revolution of Iran in Dar es Salaam

Iranian ambassador Mohsen Ghomi addressees audience at his residence on Friday 10th FEbrruary, 2012




Dr Fenelle Mukangara, the deputy minister for Information, Youth, Culture and Sports speaking at the ceremony 




By Nasser Kigwangallah
THE deputy minister for Information, Youth, Culture and Sports Dr Fenella Mukangara has said Iran and Tanzania have developed bilateral ties through joint economic commissions in recent years.
She made the remarks at a function to mark the 33rd anniversary of the victory of Iran held at the ambassadors residence in Dar es Salaam on Friday.
She said both countries are eager in further expanding bilateral cooperation in the fields of tourism and natural resources.
Today's occasion provides us with yet, another opportunity to reaffirm our commitment to strengthen the long and closer relationship between our two countries,” she said.
The deputy minister added that both Tanzania and Iran have maintained cordial and brotherly relations, notwithstanding the geographical distance that exists between the two countries.
She said with the new spirit of cooperation, Tanzania is keen in ensuring that ties in the fields of agriculture, trade, energy, cultural, tourism, technical, sports and econometric endeavors are maintained at all costs.
She confirmed that her government will make sure that bilateral meetings are being regularly held, to encourage investors from both sides to explore new areas of cooperation.
She remarked: “We value the contribution of Iran to Tanzania especially technical support in the fields of agriculture and health sectors.”
Speaking on the occasion, Mohsen Movahhed Ghomi, the Iranian ambassador said that both countries can benefit from helping one another in developing tourism activities and exchanging information in the fields of natural resources and the preservation of archaeological sites.
According to him in October 2008, Iran and Tanzania signed a memorandum of understanding on economic cooperation that covered a wide range of fields, including energy, infrastructure, banking and investments.
He said in May 2009, Iran's first vice president Parviz Davoudi toured Tanzania and announced Iran’s intention to establish agricultural jihad offices in Zanzibar City and Dar es-Salaam.
He said in January 2010, Iranian and Tanzanian officials signed a Memorandum of Understanding (MoU)concerning economic cooperation in the fishery, cement production and meat processing industries.
Tanzania and Iran have historically maintained stable bilateral relations adding that Iran sought to collaborate with Tanzania more closely than ever,” he said.
He said it is time to commit themselves in finding ways to explore how Iran and Tanzania could expand legal and judicial cooperation.

Monday, 6 February 2012

A seminar to commemorate thirty three years of the Islamic revolution of Iran held at the Cultural Centre of the Islamic Republic of Iran in Dar es Salaam on Saturday 4th February, 2012 in photos


Dr Azaveli Lwaitama, a renowned professor of political Science at the University of Dar es Salaam, was one among the key speakers at the seminar on Iranian revolution

Sheikh Ali Bassaleh, grand Imam of Idrisa mosque in Dar es Salaam delivering a lecture on the Islamic revolution and its significance


Dr Morteza Saouri, the the Cultural Centre of the Islamic Republic of Iran director being interviewed by journalists

A Muslim cleric delivering his key note address on the importance of the Iranian revolution

SEMINAR ON THE REVOLUTION OF ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN: MUSLIM CLERICS CALL ON ELIMINATION OF CORRUPT AND TYRANT LEADERS


By Nasser Kigwangallah in Dar es Salaam
MUSLIM clerics in Dar es Salaam have called on the people to remove from power dictators, corrupt and tyrant rulers so that peace and harmony could prevail in the world.
The call to that effect was made by Sheikh Ali Bassaleh, the grand Imam of Idrisa mosque based in Dar es Salaam at a one day seminar to commemorate thirty three years of the Islamic revolution of Iran.
He said tyrants are rulers who control a country with absolute authority and are not restricted by a constitution or by laws.

Dictators work in a governmental system in which the citizens do not possess the right to choose their own leaders freely,” he said.
According to him this type of system is called dictatorship which the revolution of Iran eliminated the Shah regime on 11th February, 1979.
He added that the revolution was led by the late Imam Khomeini, after more than 15 years of struggle and confrontation.
He said: “Ruhollah Sayyedh Musavi Khomeini was a religious leader and politician, and leader of the 1979 Iranian Revolution which saw the overthrow of Mohammad Reza Pahlavi, the Shah of Iran.”
He added that following the revolution, Imam Khomeini became the country's Supreme Leader, a position created in the constitution, being the highest ranking political and religious authority of the nation.
Sheikh Bassaleh said Imam Khomeini was a source of emulation, also known as a grand Ayatollah.
Speaking on the occasion, Morteza Sabouri, the director of the Cultural Centre of the Islamic Republic of Iran said we have today gathered here to commemorate and remember the contribution of Imam Khomeini to the world.
Imam Khomeini spent more than 15 years in exile opposing the regime of Shah.
He was named man of the year in 1979 by the American news magazine 'TIME' for his international influence and has been described as the virtual face of Islam in Western popular culture,” he said.
He is officially known as Imam Khomeini inside Iran and by his supporters internationally, and generally he is referred to as Ayatollah Khomeini by others.
The regime of Shah was a tyranny and ruthless regime which was against Islam and was completely depended on America and the zionist regime of Israel and some European countries,” he said.
He added that after a long period of conflicts, Ayatullah led his people to the victory and on 11th February, 1979 the revolution of Iran was won.
He said it is now 33 years of the Islamic Republic of Iran from that victory and spite of all plots hatched to it by enemies; Iran and its Revolution are still intact, stronger than ever.
He said: “The Islamic revolution of Iran continues to flourish, stronger and powerful and it could in spite of all hostilities and sanctions.”
According to him today, Iran has developed like many countries in the world in many fields of science and technology in the region.






Friday, 23 December 2011

MUSLIMS IN DAR MOURN THE MARTYDOM OF IMAM HUSSEIN (AS)




















 Muslims and their clergy at a one day seminar on 'The Philosophy of  Ashura and Islamic awakening organised by the Cultural Centre of the Islamic Republic of Iran in Dar es Salaam recently.

BAKWATA Dar es Salaam region chief sheikh Alhady Musa Salum has urged unity to be preserved and avoid sectarian divisions among Muslims as a way of bringing peace and harmony in the country and also fighting evils.
Sheikh Alhady was giving his key note address at a function of Ashura to memorise the death of Seyyidna Hussein, the grandsonof the Holy Prophet Muhammad (pbuh) organised by The Cultural Centre of the Islamic Republic of Iran in Dar es Salaam on Saturday.
He said Muslims are duty bound to remember the hole scenario leading to the brutal murder of the grandson son of the prophet as a way of fighting evils and eliminating corruption among the society.
According to him, the Holy Prophet Muhammad (pbuh) had openly prophesied that the faith of Islam would be rescued by his second grandson Hussain (a.s.), when Yazid, son of Muawiayh, would endeavour to destroy it.
He said: “His death signifies one important thing, humanity could not live at peace unless tyranyy was uprooted and peace and justice to all reigns high.”
He said unity of Muslims, regarsdless of their sectoral affiliation should be taken as a key to peace , harmony and securtity for everyone and under any circumstances, Muslims should not be separated.
He argued that when separated, Muslims would be weak and deafed easily by their enemies.
“What unites us all is our religion because we all believe in One God and the sanctity of humanity should be guaranteed by all of us,” he said.
He reminded Muslims of upheavals ongoing in the Muslim countries, particularly Syria and Egypt as an eye opener that tyrant rulers who indulge in systematic corruption and oppression of its citizens should be removed by force.
He said Muslims should take precautions on those people who are bent on diving them into sectarian division.
Speaking on the Philosophy of Ashura and Islamic Awakening,  Morteza Sabouri, director of the Iranian Cultural Centre said the remembrance of the event of Muharram is a key to enhancing one’s belief that he or she should remove tyranny and evil in the society.
“Let us see that justice prevails in our midst and that evils should be eliminated under all circumstances whatsoever,” he said.
Musa Kundecha, the leader of Islamic Institutions (BARAZA KUU) said that Imam Hussein was so courageous, who stood firm and undeterred against the oppressors until he was mercilessly killed.
He exhorted Muslims to stand up for justice and root all sorts of corruption and evils in the society.